Hapana hivyo ulivyosema imejikunja kama tangawizi ndo nimeona unataka kutuua mbavu😅😅Yaani mikono yangu unasema vituko!?
Hapana hivyo ulivyosema imejikunja kama tangawizi ndo nimeona unataka kutuua mbavu😅😅Yaani mikono yangu unasema vituko!?
Broker gani huyu..?NDINDA
Namna ambavyo unau slow slow but sure 😂😂😂😂😂hapa naendelea kuzijaza tuuu
View attachment 2127520
BlueberryBroker gani huyu..?
Ohooo, selfie gani tena ???Hahahah!
Sentensi ya kwanza ni uongo ila ya pili kweli kabisa🤣
Malcom nakudai selfie yako ni nwaka sasa.
Haha! Kuna broker wengine ni ushe.. sijajua Kama nimempenda..😂
Tatizo halijawai kuwa broker 😀😀😀😀... tunamsingiziaHaha! Kuna broker wengine ni ushe.. sijajua Kama nimempenda..😂
Tatizo ni elimu eti..? Haha no mkuu brokers wanamatatizo yao pia Mambo ni mengi hakuna sehemu ya fedha isiyo na figisu,figisu zinapungua zaidi pale broker anapokuwa na leseni inayotoka mahali ambapo hakuna longolongo na usimamiaji ni mzuri.. Kuna brokers wana spreads za msamba!😂Tatizo halijawai kuwa broker 😀😀😀😀... tunamsingizia
😀😀😀 Elimu.. Spread huwa zinaongezeka ( kuna sababu ambazo trader lazima uzijue) kama huzijui rudi shule.. Ndio maana kuna aina ya broker. jipimie tu mkuuu.. ENC, STP etc.. chagua ndio maana broker wengine less than $ 10,000 hufungui accountTatizo ni elimu eti..? Haha no mkuu brokers wanamatatizo yao pia Mambo ni mengi hakuna sehemu ya fedha isiyo na figisu,figisu zinapungua zaidi pale broker anapokuwa na leseni inayotoka mahali ambapo hakuna longolongo na usimamiaji ni mzuri.. Kuna brokers wana spreads za msamba!😂
Mpaka leo sijajua kwanini tickmill ikifika usiku wa saa sita spread huwa zinatanuka kiwango cha msamba msambano..😅
Haha! Forex naipenda kinyama sahivi nimestop kiasi kwanza sasa broker wa kiasi hicho kibongobongo hataambulia mteja.. bado najifua mimi ila nachoshukuru nishajua madhaifu yangu.. sometimes ukishazipiga unaanza kuingia ki kenge kenge halafu nayo inakuonyesha ukenge!..🤣 nadili na saikolojia yangu sahivi.😀😀😀 Elimu.. Spread huwa zinaongezeka ( kuna sababu ambazo trader lazima uzijue) kama huzijui rudi shule.. Ndio maana kuna aina ya broker. jipimie tu mkuuu.. ENC, STP etc.. chagua ndio maana broker wengine less than $ 10,000 hufungui account
ukishindwa develop principle au rules za kuku guide, lazima ukalie msumali.. lazima ujue namna unwvyopata faida na namna unavyopata hasaraHaha! Forex naipenda kinyama sahivi nimestop kiasi kwanza sasa broker wa kiasi hicho kibongobongo hataambulia mteja.. bado najifua mimi ila nachoshukuru nishajua madhaifu yangu.. sometimes ukishazipiga unaanza kuingia ki kenge kenge halafu nayo inakuonyesha ukenge!..🤣 nadili na saikolojia yangu sahivi.
Kuna kipindi nilikuwa naenda vizuri kabisa ghafla shetani akaniletea dada fulani hivi mfupi mweupe!,akaushika moyo wa forexer nikawa phonexer..🤣ukishindwa develop principle au rules za kuku guide, lazima ukalie msumali.. lazima ujue namna unwvyopata faida na namna unavyopata hasara
Madada.. hela na wanawake avikai pamoja, chagu kimoja mapenzi au pesa.. kimoja kijenge base ya kingine..Kuna kipindi nilikuwa naenda vizuri kabisa ghafla shetani akaniletea dada fulani hivi mfupi mweupe!,akaushika moyo wa forexer nikawa phonexer..🤣
Mkuu soft copy za vitabu unavyoviaminia vihusike kidogo au madini fulani hata pm yahusike ili nikirudi nirudi na defensive system ya maana..😅
Dunia ishanifunza mbona usisumbuke kuhubiri..😅Madada.. hela na wanawake avikai pamoja, chagu kimoja mapenzi au pesa.. kimoja kijenge base ya kingine..
Tulia we mzee wewe..😎
Umesahau?Ohooo, selfie gani tena ???
Hapana hivyo ulivyosema imejikunja kama tangawizi ndo nimeona unataka kutuua mbavu![]()





Weekend nitaomba nije unifundishe kupika maandazi