Hapo kwenye uchawi hapooo! Wala siyo "kwa mbali" bali sanaaa!Umeupiga mwingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu taja sifa zao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu wanaume ni walevi hao,vifupi nyundo na uchawi kwa mbaalii
Wana ka ushamba flani,walevi afu siyo wajanja kama wale wenzao walevi wa kaskazini.
Ila ni wachapakazi
Mmh hizi takwimu umezitoa wapi [emoji2297][emoji2297]Epuka matapeli. Hakuna Mnyaki/Mndali asiye na shepu ya kufa mtu [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Si ulinitumianga picha [emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi?? Ulinijuaje aisee
Teh kwahiyo we unadhani Nchi nzima mwenye jina la Mabeyo ni CDF tu siyoMabeyo
Umesoma nae[emoji2297]
Shikamoo[emoji1787]
Anko kwema?Si ulinitumianga picha [emoji2][emoji2]
Huyo ana nyota mbili.. Bsc in Telecom Eng.. Komandoo safi sana, maisha marefu.. intake yenu walikufa wangapi 😎😎That day when we got our wings......[emoji2][emoji2][emoji2] Nani kamuona lucchese?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2125562
Hadi raha yaniThat day when we got our wings......[emoji2][emoji2][emoji2] Nani kamuona lucchese?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2125562
Kwema kabisa anko za kupotea [emoji4][emoji4]Anko kwema?
MwenyeweNyokoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaitaka?Muda huo picha yako iko wapi?
NinayoUnaitaka?
Kwenye uzi huu huu [emoji2099][emoji2099]Mmh hizi takwimu umezitoa wapi [emoji2297][emoji2297]
Ila harusi za wajeda zinanoga aisee siyo siriHadi raha yani
Mkuu na kuna picha yako uliwahi itupia kama hii hapa ya chini itupie tena basiView attachment 2125688
Labda picha ya mdogo wanguNinayo
ina katumbo kadooogooo,,kanaingia mara 2 kwa tumbo langu
Nikimfikiria alivyo,nikilinganisha na kauli zake za kupigana basi nacheeka nataka kuzimia.Apigane wapi? Mikwara tu ya keyboard hiyo
Ila walimuweza kweli; na ameapa hatakaa akanyage tena maeneo hayo.
Halafu sijui kapotelea wapi. Isije ikawa kweli alirudi kupigana yakawa mengine ohoo!
Inabidi tutafute kamamdogo sasaNikabaki tu kusonya chinichini...we mwehu nini baba kijacho yupi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
KwendaaLabda picha ya mdogo wangu
Mwana kwendaKwendaa
Yaani wale watu bwanaHapo kwenye uchawi hapooo! Wala siyo "kwa mbali" bali sanaaa!