Kumenteini figa napo mateso tu kwa kweli. Kamwe sitawalaumu, kuwanyanyapaa wala kuwasimanga wanawake wenye vitambi. Kumenteini figa inataka will power na nidhamu ya hali ya juu. Ona tu portions anazokulaga
Lizzy yaani. Utafikiri chakula cha junia ambaye ndo kwanza kaachishwa ziwa. Hongereni sana kwa kweli
Nawasalimu CAG naona hili hajaliona yaani sijui kuna shida gani..Nichukue nafasi hii kuwashauri maana mimi ukiwa na kitambi nakupiga chini. Kuleni kistaarabu sasa unatoka na mamzi anaagiza chipsi mayai mishaki mitatu sosegi mbili na kuku nusu anasema afungiwe seriously.. Aya kama haotoshi...