Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante shemeji...Wapwa wapige kitabu vizuri japo sasa tunaaminishwa na akina Dr. Musukuma kuwa elimu haina maana tena

Hao Tiaraei watajua kuwa hawajui...

Tubaki na uzima shemeji
Amina shemeji.
Njia yetu ilisha tengenezwa na Muumba wetu tangu tungali tumboni mwa mama zetu,watakao jitokeza mbele yetu tuwachukulie ni upepo wa " kusi" na muda ukifika watabadilika na kuwa upepo wa "kasikazi"
Tiraeii wafe wote wallahi...
Money lavusi yu shemeji...
 
IMG-20220216-WA0656.jpg
 
Mi wala huwa sielewi. Tulifika fikaje kwenye mke mmoja wakati miamba ya imani mingi tu katika Agano la kale ilikuwa na wake wengi? Ni kweli mtu atakwenda motoni kwa kuoa mke zaidi ya mmoja? Akina Solomoni waliooa wake 700 wao itakuwaje au kwa vile wao walikuwa wanaishi katika sheria na siyo Neema ya Yesu?

Imagine unakuwa nao wanne kama wa huyu mwamba hapa dah!
View attachment 2121095
Umenena ukweli mtupu Kama wafalme walikua nao wengi sisi kwanini tubaniwe au ni propaganda tu NB: HIO MIZIGO PICHANI SHEIKH SIO MCHEZO
 
Peponi kama kawa tunaingia.. Hatari ya wake wengi ni ule muunganiko wa nafsi.. kama wakiwa na backgrounda mbaya ya miungu miovu, wanaweza hamisha moyo wako.. mwanamke ana nguvu.. hayo ndio majanga yalimkuta kijana Solomon.. Mke mmoja kazi inahitaji ujitoe ufahamu kweli
Eti ujitoe ufahamu
 
Back
Top Bottom