Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,244
- 90,420
hv ni kweli?Kha umeanza tena 😅
hv ni kweli?Kha umeanza tena 😅
huyo wako uncle! tumeisha yamaliza ki familia.. waswahili wanasema kuku wakwako manati ya ninihahahaha.uncle utanifanya niwehuke ujue.kumpata mtt km huyo c mchezo
ungekuwa hujaolewaa.. kuna mtu ananisumbua saja inbox nifikishe ujumbe wake kwako.. sema kwa heshima acha nipige kimyaaa
![]()
Muulize huyo uncle wako rafiki .hv ni kweli?
.. nimekuja kwenye kahawa hapa.. anakupenda sana, kila siku ananichosha PM.. unachanganya sana watu humu ujue basi tu 😎😎Hahahhaha nani huyo tena jamani?
Afu nimefika kwenye mishkaki sikuoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aniulize nini tena, imeisha hiyo.. uwe na mahaba yote kwake..Muulize huyo uncle wako rafiki .
hahahaha.anko umetisha sana.@Tinsley nadhani umemsikia mjomba akohuyo wako uncle! tumeisha yamaliza ki familia.. waswahili wanasema kuku wakwako manati ya nini
.. nimekuja kwenye kahawa hapa.. anakupenda sana, kila siku ananichosha PM.. unachanganya sana watu humu ujue basi tu![]()
Anakupenda wewe ulivyo, mahubiri ni additional... mtoto wa watu anapata shida 😎😎
hahahaha.kwa sentensi hii ,uncle ananidanganyaMuulize huyo uncle wako rafiki .
Basi mshenga; yameishaAnakupenda wewe ulivyo, mahubiri ni additional... mtoto wa watu anapata shida![]()
Uncle ana matani huyo .hahahaha.kwa sentensi hii ,uncle ananidanganya
😅😅😅😅😅 haya mamaaa pastaaaBasi mshenga; yameisha
kn siku nilienda kanisa moja.nikakuta mdada anahubiri vzr, kanisa linaitwa RHEMA.Anakupenda wewe ulivyo, mahubiri ni additional... mtoto wa watu anapata shida 😎😎
Hahahaha,bora iwe utani,maanaUncle ana matani huyo .
Ni utani tu , rafikiHahahaha,bora iwe utani,maana
kn siku nilienda kanisa moja.nikakuta mdada anahubiri vzr, kanisa linaitwa RHEMA.
najua rafiki.chitchat muda uende.tutoe stressNi utani tu , rafiki
Ooh vyemanajua rafiki.chitchat muda uende.tutoe stress
inabidi tuhamie hapo hahaha.. na mie napenda sana wahubiri wazuri kuna kamoja kanaitwa..... haka napenda kakihubiri sikosi vipindi vyake nataka nikajitolee kuwa mfanya usafi kanisa kwaokn siku nilienda kanisa moja.nikakuta mdada anahubiri vzr, kanisa linaitwa RHEMA.