Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Mmhh
Mmhh
I had blue one those time 😅
unaweka na visoda vya kuhesabia.. fagio.. hiyo mifuko ilikuwa inapata sana shida 😀😀😀I had blue one those time 😅
Asante mkuukaribu sana mkuuu..
Full kuchanika, unanunua mwingine chapchap. Ikiwa na daftari chache inapea balaaa 😂😂😂unaweka na visoda vya kuhesabia.. fagio.. hiyo mifuko ilikuwa inapata sana shida 😀😀😀
kipindi hicho ukiwa na begi.. unaonekana wa kishua.. na soksi za pundamilia na viatu vyako safi plus kiwi.. wengine hadi tunaenda na malapa yameshikizwa na kamba.. hakuna kukaaa paredi kwenye ukaguzi 😀😀😀😀 au unajificha kwa wapiga bend maana wao hawakaguliwaFull kuchanika, unanunua mwingine chapchap. Ikiwa na daftari chache inapea balaaa 😂😂😂
😀😀😀😀 Mwanza inapendeza sanaaIringa>dar>arusha> mwanzaView attachment 2119973View attachment 2119974
hahahahaha,namuona yuko busy ,haezi kuniona
ila anakupenda sana, sema anakuonea aibu 😊😊hahahahaha,namuona yuko busy ,haezi kuniona
hahahahaha.sio kweli mjombaila anakupenda sana, sema anakuonea aibu 😊😊
vipi kwani nadanganya 🙄🙄
kafa kaoza uncle 😀😀😀hahahahaha.sio kweli mjomba
😀😀😀 anamuonea aibu kwaiyo yake ya moyoni kanifikishia na mie nayafikishe bila ajizimshenga pro max
anamuonea aibu kwaiyo yake ya moyoni kanifikishia na mie nayafikishe bila ajizi


dah watu Wana zali mzee mbona sisi hatupati hayo Mambo au kwakua wazeee😀😀😀😀 kwani Depal hajawai kukucheki inbox.. anakuelewa sana nilijua mpo mashariki ya mbali kwenye safari yenudah watu Wana zali mzee mbona sisi hatupati hayo Mambo au kwakua wazeee
😀😀😀 mnabahati sana, kiumbe kama Depal hakuna asie taka kuwa nachoo.. cheki ka sura kale ( innocent sura) tume shavu tule.. dah nawatamania.. mie tu humu ndio nagalagazwaaa 😀😀dah nimecheka Sana umehamia kwangu mshenga