Mazalia ya mbu hayapo, dawa ya kupuliza haifai kwa sababu sehemu za kuingilia zipo kibao kwa hiyo unaua hawa wanaingia wengine...suluhisho kwangu mimi ni net tu hata kula muda mwingine nalia kwenye net
Mazalia ya mbu hayapo, dawa ya kupuliza haifai kwa sababu sehemu za kuingilia zipo kibao kwa hiyo unaua hawa wanaingia wengine...suluhisho kwangu mimi ni net tu hata kula muda mwingine nalia kwenye net
Mazalia ya mbu hayapo, dawa ya kupuliza haifai kwa sababu sehemu za kuingilia zipo kibao kwa hiyo unaua hawa wanaingia wengine...suluhisho kwangu mimi ni net tu hata kula muda mwingine nalia kwenye net
Pole kama kuna maingilio ndio mtihani.. ila hapa nilipo huwa ikipigwa fumigation hakunaga mmbu wala bibi yake na mbu na maingilio yapo.. sijui wanapiga dawa gani hapo kwako
Was so ameizingggggg dia Nimeenjoy to the fullest!!🤸🤸🤸🤸🤸♥️♥️♥️♥️
And yours????? Ila dizain umepooaaaaahh!!!! Hope everything is alright mamy! ! Have a good and wonderful Tuesday!😘😘