Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Ndio maana nimekuwambia upo sawa. Shule yangu niliyokula na walimu wangu walio nilisha chakula.. na mie mwenye katika makuzi yangu.. sijaona Solomon akimsia mke wake ambae ni mpenzi wake.. hata tukianza kuchambua verse to verses form ORIGINAL ya hicho kitabu.. ili tupate kitu.. maana twende tujue version ya kwanza la hiyo jarida na language ipi na kutokea hapo twende verse to verse..Hatujui ni nini lengo lake,,but all we know ni poetic illustration ya solomon, akiwa na mpenzi wake,,, sasa kutafsiri ndo kila mtu anaangukia upande wake,,, as long tafsiri yake sio dhambi ( kumsifia mkeo au kuhusisha poetic songs hizo kama majibizano kati yako na Mungu )


