Selfika na JF: Snap it. Show it

Ah mi Msukuma bana! Tena chapa ya ng’ombe haswa!

Ila Wakenya hawafanani! Raila Odinga hafanani kabisa na Lulu Hassan!
Hao watu wa pwani Mombasa wa-exclude,hao ni km wabongo tu

Yeah I know wewe ni msukuma kitambo sn,nilikuwa naona ulivyokua unapigwa punches ukiongea Jambo lolote jema la magufuli enzi zile
..Walikuwa wanakuita sukuma gang
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…