Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20220206_150919.jpg
 
Nakubalina na wewe kipara ngoso Pep .. maana kuna mahala nimeusikia huu wimbo nimechoka kabisa.. unachosema kama upo connected lazima ushukiwe na upako 😄😄😄😄
Kuna mistari mama la mama Saint Anne ame quote hapo, hatufai kuwa hai...

Ikifika hiyo part Roho wa Bwana lazima abubujike ndani yangu namna huyo mtumishi mwenzetu aliupiga mwingi.
 
Kuna mistari mama la mama ame quote hapo, hatufai kuwa hai...

Ikifika hiyo part Roho wa Bwana lazima abubujike ndani yangu namna huyo mtumishi mwenzetu aliupiga mwingi.
Aliupiga mulemule on target.

Kuna mtumishi mwenzetu niliwahi kuimba naye kipindi cha shida yake..
Hizo verse kuna namna zinatoa relief.
 
Back
Top Bottom