Sio mnyaki mkongo yasemekana!!!mkewe ndo mnyaki binamu!hakuna mwanaume wa Kinyaki mjinga kama yule!!!
Tutajua mpk boti aliyokuja nayo kutoka kwao CongoNilikuwa najua si Mtanzania, ila ile ya mnyaki nikasema labda. Mweh ngoja wamfukunyue chawa yule




!!anakera kubully watuu!!ngoja uchawa umponzee!Teh baba ana kiranga yule; nawaza yule mkewe alivyo mstaarabu vile daahTutajua mpk boti aliyokuja nayo kutoka kwao Congo!!anakera kubully watuu!!ngoja uchawa umponzee!
Halafu bado sijaicheck mkuu, tamu eeeh?
Ujue nilishangaa siku ile ya harusi yake kusikia ni mnyakyusa; na baba yake ana majina ya kinyaki kabisa






akaaah staki mie lolSio mnyaki mkongo yasemekana!!!mkewe ndo mnyaki binamu!hakuna mwanaume wa Kinyaki mjinga kama yule!!!



mlongo mie staki ujue khaaahTutajua mpk boti aliyokuja nayo kutoka kwao Congo!!anakera kubully watuu!!ngoja uchawa umponzee!




dr kumbuka anataka kumuumbua chawa mkuu.Jamboo linaenda zua majambooJaman kuna nn huko duniani? Nasikia Tanzania' s sweetheart ,
Maadam Wema na Aristotle kimeumana.
Nautafuta uzi kuhus hilo sioni plz aliyeona ani tag huko. Nina jambo langu woooiiiiii.View attachment 2102902
Nakusalimu kwa jina la Pep😂
wapi hapo.nipo tbt huku mkuu
Mastaa wa bongo bhana! Sema mie naonaga Irene Uwoya na Wema Sepetu akili zao zinafanana tu hamna wa kusifiwa hapo!kayabananga kwa last born wa taifa..kamkejeli eti hana ht uber...wakati Irene anatumia Range!watu wamemvamia mpk wanaanza kuhoji uraia wakes
anaitwa Puyo Gabombee
tbt pamoto huko 😀😀😀. hapa viunga vya mlimani mkuuwapi hapo.nipo tbt huku mkuu