Na simba jike ana jigeuza geuza anasubiri kingine... na nyie wapenzi watazamaji mnatulia kucheki connection live πππ.. ukute upo na wazazi na tuwa gaidi anakomaa kuwapa maelekezo
Na simba jike ana jigeuza geuza anasubiri kingine... na nyie wapenzi watazamaji mnatulia kucheki connection live πππ.. ukute upo na wazazi na tuwa gaidi anakomaa kuwapa maelekezo
Ukiona wanazidi kutoa connection unawaambia wazazi basi ngoja niwasimulie tukio lililonotokea wakati nipo darasa la pili B.....
Unawasimulia hadithi yeyote ya akaja sembamba ila kama wakiwa wanapenda kachumbari kama hao kina Manka hapo, wala hawatakusikiliza...
Ndo kwanza watamuomba tua gaidi darubini ili waone connection kwa ukaribu zaidi....π
Ila.....
Nimetamani kuvunja side mirror ya hiyo gari na kunyanyua mkia wa Simba....!
Nilikuwa nataka nione mguu wake ukojeukoje....π π€π€π€¨π€¨π€¨