Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Nkwelaaaa! Nakuja Dodoma wallahi!![]()







unakuta muhaya amejaaaa telee kina rwebaaa....





Muhaya tenaunakuta muhaya amejaaaa telee kina rwebaaa....
![]()
. Maweee! Nayanga bojoKaribu sana bhageshiii..!!!Si kwa nia mbaya. Nakuja tu kuona wanangu jamani![]()
Muhaya tena. Maweee! Nayanga bojo




sasa wasukuma tulishindwana sanaa!nkashusha mikono chiniii....Mimi kanda ya ziwa na magharibi tuuu




Kwa hiyo akina ngosha walipokushinda ndo ukahamia kwa akina nshomile. Roho yaniuma mimisasa wasukuma tulishindwana sanaa!nkashusha mikono chiniii....Mimi kanda ya ziwa na magharibi tuuu

Ivi mama mchungaji ndo nini lakini..reymage binamu; ahsante kwa hizi picha 2, nilitoroka usingizini ngoja nirudipo. Ntacomment kesho panapo majaaliwa![]()



Eehh!nkweela sasa nifanyeje mimi! Mapenzi hayalazimishwi it was hard but now everything is okay time heals!!!Kwa hiyo akina ngosha walipokushinda ndo ukahamia kwa akina nshomile. Roho yaniuma mimi![]()





Nitakuja tuongee vizuri hii ishu. Pole sana. Tusamahe tu kwa kweliEehh!nkweela sasa nifanyeje mimi! Mapenzi hayalazimishwi it was hard but now everything is okay time heals!!!
![]()

We mtoto ulale, muda wa wenye umri huu
Mkuu usije kesho, kesho ntakuanae mahali fulaniNitakuja tuongee vizuri hii ishu. Pole sana. Tusamahe tu kwa kweli![]()



Sawa mkuu. Mi sina ishu. Mi nakuja kuona wanangu tu. Nyie hata muedelee na mambo yenu sawa tuMkuu usije kesho, kesho ntakuanae mahali fulani
reymage



Sawa mkuu. Mi sina ishu. Mi nakuja kuona wanangu tu. Nyie hata muedelee na mambo yenu sawa tu![]()




Sawa mkuu. Wewe na shemeji mtanipa taarifa mtakapokuwa na nafasi ili nije kuwaona wanangu. Hata kama ni mwaka kesho nitasubiri!
Basi usije mkuu, picha za wanao ntakutumia mimi.