reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,426
- 29,306
Soon kuna MTU nilimuahidi natakiwa nitimize ahadi bado DKK kadhaa niselfikeNkwela; utaselfika leo?
Soon kuna MTU nilimuahidi natakiwa nitimize ahadi bado DKK kadhaa niselfikeNkwela; utaselfika leo?
Leo mmenipania ila mi mbona najulikana Sana'a!!!Inaendelea mpaka saa nane. Baada ya hapo tutakua na healthy break
Umelala we muhaya?!!Kumbe ndio michezo yake. Nami nilitaka kushangaa, saa nane anafanya Nini kibaridi hiki

Not to me..Leo mmenipania ila mi mbona najulikana Sana'a!!!
Hahahah!!!louhh na uzee huuu!!!Not to me..
Nakwambia ntakutokea ndotonii...Hahahaha!!!ngoja nilale miyee!!!![]()
Nawajua sana wanaume wa Kisukuma hasa hawa wa rika langu (40+). Tulilelewa katika mfumo dume 100% huku tukifundishwa kuwa ubabe na kuwa na wanawake wengi ndiyo uanaume hasa. Ukikuta wa enzi hizo ambaye hana exposure kidogo halafu awe na vihela hela hivi nakwambia ni tatizo tena pevu. Japo anaweza kuwa na upendo wa kweli kwa mke na familia yake lakini huko nje pia ni lazima atembeze mkong'oto tena kwa uwazi na bila kujificha ficha eti ndo uanaume! Bagosha!loohh!we ndo OG musukuma kabisaaa!ulijuaje alishaboronga ila maisha yanaendelea kivingine!!!!Niko na amani niliko sasa ila ukweli unabaki wale mabinti ni wasukuma siwazuii na siwakatalii asili yao!!na Likizo lazima waende kwa baba zao wadogo hukoo wakajue maadili ya kisukuma staki lawama baadae!
Kwenye ulimbwende hapo hakuna kituu!!
Ng'ombe hazeeki mainiHahahah!!!louhh na uzee huuu!!!
Nilikuwa nataka kwenda madukani siendi ng'o!Soon kuna MTU nilimuahidi natakiwa nitimize ahadi bado DKK kadhaa niselfike
Mkuu naona Simara leo ametaitiwa dah! Basi tu!Ng'ombe hazeeki maini
Itakua yule bwana anafaidi tuu..Mkuu naona Simara leo ametaitiwa dah! Basi tu!
Halafu pisi kali hatari dah! Kuna mijitu inafaudu hii dunia mpaka basiItakua yule bwana anafaidi tuu..



Ile pisi ni yamoto sanaaa...Halafu pisi kali hatari dah! Kuna mijitu inafaudu hii dunia mpaka basi![]()
Halafu pisi kali hatari dah! Kuna mijitu inafaudu hii dunia mpaka basi![]()






nyie bwanaaaNilikuwa nataka kwenda madukani siendi ng'o!






loh!hujaona tuuMmetimiza ahadiItakua yule bwana anafaidi tuu..
Hapoo last yearView attachment 2100395











