Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,453
Dah kwahy muda huu naselfika mie pekee?
hata mimi naona furahi day
napenda kukuona ukiwa na furaha muda woteNa binafsi nina furaha sio ya nchi hii!!!
Karibu sana na hivi nipo doroooo!!yaani Mimi ni kulala na kuamka tu ni mvivu Mimi jamani sina kampani sina nini!!!naweza shinda ndani km utumbo ht siku 2!I love yu mooreee Dada mkubwa.
Najipanga kuja kukusalimia dom![]()
Asante loohh!Haha pole ndiyo ukubwa huo![]()
Sasa wewe jichanganye anakuacha huyu mtu😁Eti eehhh basi ngoja nijiachie najua maji yakizingua masta utaniokoa
Hebu be honest.. utamuokoa nani Kati ya mahondaw na chakorii.usisahau mahondaw ni chombo haswausihofu.mji tu hayanisumbui rafiki
Kho kho kho khoEeh tumetekana ila usiulize mimi nimemteka nani
kwa mbinu za ki medani naokoa wote.bila tatizo kipenziHebu be honest.. utamuokoa nani Kati ya mahondaw na chakorii.usisahau mahondaw ni chombo haswa
Sidhani kama ni Wasukuma wote. Na naamini kizazi hiki cha kisasa kitakuwa kwenye ukimbaumbau - usasa! Zamani kidogo ukioa ilipaswa utafute mwanamke mnene (japo kidogo), mrefu na ikiwezekana mweupe kidogo. Na wingi wa mahari ulitegemea vigezo hivyo kimaumbile.
Na haya mambo hayana fomyula mai furendi bali ni kila mtu na lwake. Kwangu mimi kwa kweli tangu namjua mwanamke ni mwendo wa ma Yutong tu. Na likiwa jeupe jeupe limefungasha umbo mkatiko hata mashamba ya ukoo nauza mimi. Mpaka uzeeni huku nishapambana mpaka na super extra Yutongs japo sasa kwa ajili ya umri kwenda sana nimeanza kuelemewa elemewa. Binafsi kwa kweli vimbaumbau hapana labda kujilazimisha tu![]()
View attachment 2098708





loohh!sio kwa mfano hai huoo!!kuna kitu mmekumbuka acha tu nicheke
kumbe...sio wewe peke yako wasukuma wengi mpogo hvyoo!!ntasimulia next time!!hoPole dada, af tumebaki me na wewe tu jukwaani. Tujilipue mkuu..Karibu sana na hivi nipo doroooo!!yaani Mimi ni kulala na kuamka tu ni mvivu Mimi jamani sina kampani sina nini!!!naweza shinda ndani km utumbo ht siku 2!


reymage akiamua kujiripua anajiripua kweli huwaga hana longo longo. Nipo nawasindikiza kidogo jiripueni tuPole dada, af tumebaki me na wewe tu jukwaani. Tujilipue mkuu..![]()
Ukisimulia unitag puliziloohh!sio kwa mfano hai huoo!!kuna kitu mmekumbuka acha tu nicheke
kumbe...sio wewe peke yako wasukuma wengi mpogo hvyoo!!ntasimulia next time!!ho

Jamani huu ndo wakati mzuri wa kuselfika hakuna watu...
anza kutupiakabisaa