Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Fresh tuuu![]()

Fresh tuuu![]()

Waooo team.. fx.. Nimeshikwa SPX500.. kupumua sipumui
CADJPY sijawai kuwa na bahati nayo.. 😉
karibu tule.. alafu tukaogelee dada yangunambie
Nnavopenda kula vitamu sasa doh! Nakuja asee ila sijui kuogelea!karibu tule.. alafu tukaogelee dada yanguView attachment 2098689

Nakufundisha kuogelea usijali dada wangu kipenzi 😊😊Nnavopenda kula vitamu sasa doh! Nakuja asee ila sijui kuogelea!![]()
Nilikuwa huko na huko


Mtumishinambie mdogo wangu

Nipo na dada yangu mahondaw tu hapa.. tunapiga story mbili tatuNilikuwa huko na huko
Niambie kuna kilichojiri hapa![]()
Mimi tena nasema nini hata! Basi tu roho wa bwana ameniangukiaa labda!Mtumishi
Wa hovyo hovyo
Hawezi kupiga kelele
Bila sababu
Ebu ieleze kaumu hii
Umemtenda nini![]()
Kuogelea tena mweh!!Basi sawa
Na mtaogelea
Ama nini![]()
Naona imebidi utoe ufafanuzi kabisa ni kitumbua gani unaombaDada Lizzy naomba kitumbua, I mean hicho kilichobaki. Au unipe ilo buku nikanunue chakwangu.






HahahaNaona imebidi utoe ufafanuzi kabisa ni kitumbua gani unaomba![]()
Na iwe heriMimi tena nasema nini hata! Basi tu roho wa bwana ameniangukiaa labda!
😀😀😀😀.. tupia ka self basi kwanzaHaha...naomba tumualike na cocastic ndio story zitanoga zaidi