Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,016
- 177,324
Miti Tena!!🚶🚶🚶🚶🚶Nimeona mkuu, shukrani sana, ngoja nimuite jamaa wa mti
Miti Tena!!🚶🚶🚶🚶🚶Nimeona mkuu, shukrani sana, ngoja nimuite jamaa wa mti
Alisema ukiweka nimuite dada.. au nisimuite saizi..Miti Tena!!![]()
Ataikuta sasa!! Niache AmeshachelewaaaAlisema ukiweka nimuite dada.. au nisimuite saizi..
Asiyekuepo na lake halipo. Japo mkuu kuna vitu hunioneshi kabisa mkuuAtaikuta sasa!! Niache Ameshachelewaaa




Dada Lizzy naomba kitumbua, I mean hicho kilichobaki. Au unipe ilo buku nikanunue chakwangu.
Mbona huridhiki lakini????Asiyekuepo na lake halipo. Japo mkuu kuna vitu hunioneshi kabisa mkuu
Wengine wanavisifiaga sana kwako ivo..![]()
Mbona huridhiki lakini????



dah na nimeikosa.. badae nitakuletea zawadi ya pipi kijiti.. unazipenda za flavor gani 😀😀Nimetuma mbona
picha ya mti ulionyooka pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!
Ntachoma Chunya yote na Mbozi 🤣🤣Hivi itakuwaje ukikuta Tammy amepigwa mnada??
Mkuu ridhika hata kwahicho kidogo jamani!
Haijakata kiu mkuu, nimesema tu ya moyoni..
Ya chocolate!dah na nimeikosa.. badae nitakuletea zawadi ya pipi kijiti.. unazipenda za flavor gani 😀😀
Nahuo utumishi wake hahaha .. weekend hii @9.8 ms squared kiwanja wapii??





hapo sasa. LolEeeeh!Ntachoma Chunya yote na Mbozi 🤣🤣
Ulikua mti wa mpera rafiki...!

Namchoma hadi mwenyekiti mzee MwakalumumbaEeeeh!
Hadi ofisi zetu za mbogamboga tulizojenga pale mbozi?🙆
Na mpiga mnada utamfanya nini?Namchoma hadi mwenyekiti mzee Mwakalumumba