Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Tabia mbaya umeanza lini


Tabia mbaya umeanza lini


😀😀😀 si anaupandia mti kwa juu tu.. mie nakuwa nadaka 😃😃😃Tabia mbaya umeanza lini
![]()
Exactly! Big up mtu chakeKweli mkuu haka kajamaa huwa kanacheka na kila mtu hakanaga tatizo na mtu wala sijawahi kukafuma jukwaani kanagombana na mtu. Kenyewe huwa kapo tu kanaamua kuwa kapenzi kasomaji na hata kakicomment hakaandiki maneno mengi ni vinukta tu au kucheka au sentensi zake mbili basi kamemaliza.
Uko deep sana kwenye psychology
Kikuda ndio aje hiyo?Umekaa kikuda kuna wakati![]()
wapi tena huku
Mammmae....hapa lazima akojoeeeeee!
😊wapi tena huku
, 😄😄 watamu utawajua tu kwa lugha zaoNimependa zaidi hiyo "mammmae" ukitukania hivyo ndio mzuka unazidi kuwa mwingi hadi unamwagika
kuna kahawa hapo uniletee
Njoo utuungishe kwanza wese.kuna kahawa hapo uniletee
inaitwaje? 😊😊😊Njoo utuungishe kwanza wese.
Ipo kahawa fulani nzuri hatari.
You are the bestest daddy 😘There you go….it doesn’t have much. Just enough to buy Babygal a plate of whatever she likes/ wants 😉
View attachment 2097356
😁😁🤗Nimefurahi kusikia humpendi lizzy wangu.una nafasi yako moyoni mwangu kwakweli.
Hakika!,watamu utawajua tu kwa lugha zao
