Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,761
Nafurahi tu jamanii.. nimeona nimeona.. 😊😊😊Unanicheka sio!
Nafurahi tu jamanii.. nimeona nimeona.. 😊😊😊Unanicheka sio!
Unatautafutia kesi asee.. 😂😂😂..Settings za kamera sio poa kabisa !
Unafanyaga mwenyewe au SPA ?
Hongera urembo sio shughuli ndogo.
Ooh nyumbani panafaa zaidi maana unapata muda kujiweka vizuri mara nyingi tofauti na saloon huko .Nafanya Mwenyewe home Dear!
asante sio shughuli ndogo kweli.
Mnanijaza sio!!!! Nimeizoom Ndio maana dear sina hata cha maana!yaani sio kwa zigo lile
Mahondaw
Kwani kosa langu ni nini
Nifanyie wepesi bhas
Sijaona kabisa




umepitwa tena !!!Kesi gani tenaUnatautafutia kesi asee....
!Umenonaaa acha tu.. wakubwa wanafaidii 😊😊
@mahondaw unapomhurumia huyuSi ndio
Ebu imagine

, nikumbuke na mimi. Kila nikiingia nakuta imefutwa kama dk 2 ivi zilizopitaHahahaaa...@mahondaw unapomhurumia huyu, nikumbuke na mimi. Kila nikiingia nakuta imefutwa kama dk 2 ivi zilizopita
🏃🏃🏃🏃🏃💃!Please one last time tuone tuliopitwa![]()
Ifike muda tuanze kufanya reconnaissance behind troops,,, ili when the evidences are destroyed huku JF ,,,,,,offline ziwepo kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa


umependelewa na ALLAHHahaa
Wewe sasaKhaa..
Kama kweli vile![]()