Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,310
Lol vinauma kumbe???🙆 Sipati picha gharama yake ilivo kubwa...!Utaweza Process yake? uwe mvumilivu![]()
Lol vinauma kumbe???🙆 Sipati picha gharama yake ilivo kubwa...!Utaweza Process yake? uwe mvumilivu![]()
😭😭😭😭😭😭 pichaLol vinauma kumbe???🙆 Sipati picha gharama yake ilivo kubwa...!
hahahaha uwe soft zaidi eeh.rafiki safi sanaHapana sidanganyi ndiyo natumia products za kunifanya niwe softi
hahahahahaha. nakutamania utapata raha kweli
Neno la Mungu ni uzimaKaribuni cha asubuhiii
View attachment 2096065
Naombapo pera !!!!Karibuni cha asubuhiii
View attachment 2096065

Hahaahahahaha.niache bhasi
Sure, na ni Nuru, nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweiza.. Na hiyo nuru ni ule uzima wa milele 😇😇Neno la Mungu ni uzima
Lol vinauma kumbe???Sipati picha gharama yake ilivo kubwa...!
Nimemaliza tayari ☺️☺️☺️ matamu kweliNaombapo pera !!!!![]()
Aisee!! Nitainama tu si nataka cha uvunguni sasa!!Haviumi ila muda wa kujiscrub, kuloweka miguu, kusafisha mimi huwa natumia almost lisaa lizima, sasa mwingine huu muda hana
anatuuuwa watoto wa wenzake.. huyu mahondawNyie nyie nyie mtoto una balaa wewe....lote hilo lakoo
AmenSure, na ni Nuru, nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweiza.. Na hiyo nuru ni ule uzima wa milele![]()
Haviumi ila muda wa kujiscrub, kuloweka miguu, kusafisha mimi huwa natumia almost lisaa lizima, sasa mwingine huu muda hana