Selfika na JF: Snap it. Show it

yaan sec hizo zote ukose wa kuongea nae?
Wallah huwezi amin zaidi ya family yangu na hivi nipo mbali
wananikoma,,,

Asubuhi,,,,,,umeamkaje mama? Mwanao nipo salama

Mida ya saa 4,,,,,ushakunywa chai mama???

Mchana,,,,,za mida hii mama,umepika nini leo? Ushakula?

Jioni,,,umeshindaje?

Usiku,,,ushakula?? Umelala? au unatizama Tv? Mie nalala mama,nikutakie usiku mwema,,nimekumiss


Habari ya kumpigia mtu simu halafu baada ya salamu anakuuliza VIPI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…