yaan sec hizo zote ukose wa kuongea nae?
Wallah huwezi amin zaidi ya family yangu na hivi nipo mbali
wananikoma,,,
Asubuhi,,,,,,umeamkaje mama? Mwanao nipo salama
Mida ya saa 4,,,,,ushakunywa chai mama???
Mchana,,,,,za mida hii mama,umepika nini leo? Ushakula?
Jioni,,,umeshindaje?
Usiku,,,ushakula?? Umelala? au unatizama Tv? Mie nalala mama,nikutakie usiku mwema,,nimekumiss
Habari ya kumpigia mtu simu halafu baada ya salamu anakuuliza VIPI?