Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Huwa kuna majira tu, ambayo inakuwa inaruhusiwa hasa kwa sie wakaa alone ( watu wapweke) zaidi kwa asilimi 90 ya maisha yetu 😀😀😀.. na yatafika majira flani haitoruhusiwa inakuwa kazi kazi unaenda kukaa jangwani huko 😂😂Nope; relax Mtumishi, was just kidding. Ni vyema kujichanganya honestly; and kuwa real possibly. Mimi mwenyewe ukinikuta kule celbrities napiga umbea hata mswaki sipigi.
Basi, nimi nitakuona tu kwa hakika pasipo wewe kutegemea. Utasikia tu mmama anakuita "paa wewe mwenye upaa". On a serious note; to each his own.



