Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Hahah..guu la bia ndani mchuchumio
Ni myumbo 😜😜
Hahah..guu la bia ndani mchuchumio
😀😀😀😀😀Jizazi
I revoke, break, cancel and loose myself and my family; from every curse and bad words spoken against my life. They shall never come to pass
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilete ndani, muda wote we uko uzi wa kuselfika tu!Naleta unichajie![]()




Mama mchungaji bhana..
Hakuna kuwaachia walikuwa na maisha Maduro..ni mwendo wa kupambana hivyo hivyo tuvutike Kwa juu hata kama ni Choka mbaya
😀😀 Nafuta kila neno ambalo lipo kinyume na mapenzi ya Mungu juu ya maisha yako, kila kunenewa kubaya tunakufuta kila neno baya tunalifuta. Ukakubarike na ikawe kweli na aminia juu ya kila jambo kako. Ubarikiwe Ardhini, ubarikiwe Baharini, Ubarikiwe mbinguni, ubarikiwe, kaskazini, kusini, mashariki na magharibi kila neno lisilo na nuru wa uhai tunalifuta, kila kinywa kilicho beba laana, kushindwa na giza zidi yako tunakifunga.. Gold ni sehemu yako 😁😁😁Jamani si nimesema ni "casual sunday", that was meant for tomorrow. Ni vile nimeiandaa mapema leo as nitachelewa kurudi leo; so kesho nikiamka tu natupia huyo church, then baadaye ndicho picha.
Haya ubatilishe maneno yako ya laana na unibariki![]()
Black is beuty 😋😋Zote ni rangi nzuri.binafsi napenda rangi nyeusi
tumkazinie nini.. tulikamate wingu eeh 😎😎🤣🤣🤣🤣
Hakuna neno baya litalosimama kwenye maisha yako, kila neno baya kwako kuanzia sasa na kuendelea na lifee 😎Nimekununia; zaidi ya ule mnuno wa dada ako

Nafuta kila neno ambalo lipo kinyume na mapenzi ya Mungu juu ya maisha yako, kila kunenewa kubaya tunakufuta kila neno baya tunalifuta. Ukakubarike na ikawe kweli na aminia juu ya kila jambo kako. Ubarikiwe Ardhini, ubarikiwe Baharini, Ubarikiwe mbinguni, ubarikiwe, kaskazini, kusini, mashariki na magharibi kila neno lisilo na nuru wa uhai tunalifuta, kila kinywa kilicho beba laana, kushindwa na giza zidi yako tunakifunga.. Gold ni sehemu yako
Kesho nitumie ka selfie basi![]()
Hakuna neno baya litalosimama kwenye maisha yako, kila neno baya kwako kuanzia sasa na kuendelea na lifee![]()
Usinune jamanii 🙂🙂🙂, unataka zawadi gani mama pastaaaaAMEN AMEN AMEN
(Bado nimenuna)![]()
tumkazinie nini.. tulikamate wingu eeh![]()
😁😁😁😁 Maombi huwa hayasikiki, licha ya hivyo hatuombi bali tunatangaza kwenye ulimwengu wa roho na kuamuru iwe kwenye ulimwengu wa mwili.. tukuchangie eeh 😁😁😁Ukiungana tu na huyo; maombi juu yangu hayatosikika


Maombi huwa hayasikiki, licha ya hivyo hatuombi bali tunatangaza kwenye ulimwengu wa roho na kuamuru iwe kwenye ulimwengu wa mwili.. tukuchangie eeh
![]()