Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Sio hata kama navuka mwezi wa pili 😭😭😭
Sio hata kama navuka mwezi wa pili 😭😭😭
Mwenye huu mguu ni wa motooo 😋😋 anafaidi kweli bae wake 😎😎😎..
Sio weupe flani hivin😊😊😊ukiwa nae ndani huwashi taaa unamuona tu yuleerWanawake weusi wanaurembo wao adimu sana






Nakijua vizuri sanaaa mama Pastor 😊😊Ndiyo nilikuwa naandaa kiwalo cha kesho hapa. Unajua kitu cha "casual sunday"?
Nakijua vizuri sanaaa mama Pastor![]()
Neno lako na likawe mama pastaaaSubiri picha Mtumishi


Neno lako na likawe mama pastaaa
Naisubiri tu hapa 😊😊.. kama udanganya.. na wewe utaanza kudanganywaa 😎😎Nimeokoka mwaka huu, sidanganyi![]()
Ndiyo.Kinyiha hicho si ndio Saint Anne
Ejoooo🤣🤣Nimeokoka mwaka huu, sidanganyi![]()
huyo samaki kama analalamika vile kuliwa huwa mdomo na jicho lake
Sasa hapa natamani niwe namsikia kaka yangu akiwa anayaongea haya maneno mbele yangu🤗🤗🤗awww🔥Ishi kwa kuaa uwepo mwa Mungu kila siku.. na utaona matokeo yake.. maana biblia inasema
Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.
Hata vijana watazimia na kuchoka, na wanaume vijana wataanguka;
bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.
The more you waiting God katika uwepo wake ndivyo utavyozidi kupokea nguvu za kutawa katika metron yako na assigment yako.. na ndivyo nuru inazidi kuingida ndani mwako.. nuru kunwa reflection kubwa shetani hawezi kaa kwenye nuru.. na hii kukaa uweponi kwa Mungu ni siri.. kadri unavyokaa na kutii ile nuru ina relfect nje.. utakumbuka Yesu kipindi yupo mlimani na wanafunzi wake ghafla wakaon nuru ( Yesu aking'aa), ile ni nuru ikaaya ndani ya watoto wa Mungu kama mimi na wewe.. na huongezeka hata ku reflect kwa kadri tunavyo jisumbit na kukaa uweponi mwake by kutii neno lake, kufanya atakayo, fasting, spiritual exercise, praying, etc ☺️☺️
Eti chapa fimbo😂😂😂Anabaki kuwa baba tutu, na hakuna baba katili kwa mwanae, japo kwa kitambo kidogo anaweza chapa fimbo
Eeh! Wakati mwingine anatuuzunisha kidogo then hutupa furahaa ya milele 😊😊Et
Eti chapa fimbo😂😂😂