Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

C360_20220122-134257-58.jpg


Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Jizazi

I revoke, break, cancel and loose myself and my family; from every curse and bad words spoken against my life. They shall never come to pass
Naona umeingia mitini mama pastor, haya tusilaumiane.. utapo anza kudanganywaaa kila mchongo unaofanya.. unapanga uongo utavuna uongoo.. nimemaliza mie acha nilale ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naisubiri tu hapa .. kama udanganya.. na wewe utaanza kudanganywaa
Jamani si nimesema ni "casual sunday", that was meant for tomorrow. Ni vile nimeiandaa mapema leo as nitachelewa kurudi leo; so kesho nikiamka tu natupia huyo church, then baadaye ndicho picha.

Haya ubatilishe maneno yako ya laana na unibariki
 
Kila siku nasema HS pumzisha haka kamlonjo na heels, kauzee kameanza taratibu utaumwa miguu. Mweeh nikiona tu mtu kavaa heels, namuona kayapatia maisha kuliko mimi; naenda na mimi kujikongoja
Mama mchungaji bhana..๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Hakuna kuwaachia walikuwa na maisha Maduro..ni mwendo wa kupambana hivyo hivyo tuvutike Kwa juu hata kama ni Choka mbaya
 
Back
Top Bottom