Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Mimi toka nimeamka saa tisa sijafanikiwa kupata usingizi tena...mvua ilipoanza na mimi nikaanza kufua, sasa hivi nimerudi tena kitandaniimefanyaje!
Ila mvua ikiwa inanyesha halafu nyumba haivuji..inakuwa safi sana. Ni moto tu




