Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Kazi iendeleeee
niko kaweKazi iendeleeeeView attachment 2091000
Badae natoka hapa naelekea masaki kumalizia 😊😊😊... zizini hadi kesho asubuhi saa mbili kabisaaniko kawe
poa poa,nacheza mitaa hii.navizia matekaBadae natoka hapa naelekea masaki kumalizia 😊😊😊... zizini hadi kesho asubuhi saa mbili kabisaa
Utanielekeza mahala walipo mateka wengi nije nikusaidie kuwakusanya 😎😎poa poa,nacheza mitaa hii.navizia mateka
Mbingu na zifungue dirisha la kufanikiwa, malaika wa uchumi na pesa wakaambatane na wewe, ardhi ikukubali kila ukanyagapo, ardhi itangaze taarifa njema kila mguu wako ukanyagapo, ardhi ikaongee yaliyo mema dhidi yako. Uchumia wako ukafunguke, na kila ufanyalo likawe ushudua.. Mungu akujalie nguvu zidi ya adui zako katika kila eneo la maisha yako.. Uvuli wa BWANA ukufunike aliyokupa yasipotee wala adui asikaribie.. wema wa Mungu ukufunike na nuru yake ikutangulie kila pande za nchi na dunia kuanzia sasa ikupokeee![]()


Amenaseee vipi umekabizi rindo?poa poa,nacheza mitaa hii.navizia mateka
nimetekwa sinza .mpk muda huu. Na mvua hiiaseee vipi umekabizi rindo?
mkuuUtanielekeza mahala walipo mateka wengi nije nikusaidie kuwakusanya 😎😎
Hahahaaa..Kesho nayo ni sikuNimepitwa mimi!![]()
Amekamia si mchezo! Atajaumbuka shauri yake!Utoe moshi kwani uliambiwa ni vita hiyo...🤔🤔
mambo jana nakuchek pale pm kumbe umehama na pamefungwa na kufuliHahahaaa..Kesho nayo ni siku
Nakusalimia bossladyAmekamia si mchezo! Atajaumbuka shauri yake!
Lol jaribu ku nicheki saivi rafikimambo jana nakuchek pale pm kumbe umehama na pamefungwa na kufuli
Shangazi siku hizi unamuona?mambo jana nakuchek pale pm kumbe umehama na pamefungwa na kufuli
Kwa nn huwa mnafunga pmLol jaribu ku nicheki saivi rafiki
Thanks bosi wangu unajua Usiku sijalala vizuri bosi!! Hapa Kichwa kimejam kweli kweli!Nakusalimia bosslady
kama kawaShangazi siku hizi unamuona?
Shangazi siku hizi unamuona?