FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,553
Daaah asante maana ndio ile asie na bahati habahatikiPole sana![]()
Daaah asante maana ndio ile asie na bahati habahatikiPole sana![]()
nguo zimelowa mkuu.bd niko matekaKumekuchaaa
makazini mnakwendaga lakini hata kama kuna bonge la bogii 😁😁Mvuaaa![]()
Zimelowa au zimelowekwanguo zimelowa mkuu.bd niko mateka

Leo usiku usiku nakuwa hapo jirani yako kama bonde upo kwenye miambaHivi kumbe daslam mvua inanyesha..loh niko mbali kweli
na unavyonipa rahaLindo la kotekote ausio hahahaaa!!
Umeamshwa na kimokoo nini ☺️☺️Nimeamshwa salama kabisa changu lee..namshukuru Mungu.
N u
hahahaha.watu wazima hamdanganywi.hebu usiseme kwa sauti wakasikiaZimelowa au zimelowekwa![]()
Sijaona mie 😢😢Nilikua naona kimya kumbe mpo 🤣🤣🤣!!
ndio kumka salama huko mkuuUmeamshwa na kimokoo nini ☺️☺️
makazini mnakwendaga lakini hata kama kuna bonge la bogii![]()


we acha tu mkuu hata mimi wakati nakomenti mvua nilikuwa nafikiria hilohilo. Shetani ana nguvu sana🤣🤣🤣🤣🚶 Ukiwa umelowa si ndo penyewe hapo sasa!!😜nguo zimelowa mkuu.bd niko mateka
hahahaha.watu wazima hamdanganywi.hebu usiseme kwa sauti wakasikia




Nawe si umetekwa huko tangu majuzi wajilia vinono kwaraha zakoooo!!!Sijaona mie 😢😢
mateka unae kula raha, nipo hurunguo zimelowa mkuu.bd niko mateka
hayaaaa... soon nanyanganwa na simuuu.. raha ziendeleee huyu mjeshi ni 🔥🔥🔥.. ila hatufanyi kituNawe si umetekwa huko tangu majuzi wajilia vinono kwaraha zakoooo!!!
Unafaidi msukuma
Shetani ana nguvu tunayompa.. ila ukiamua kumtosa unamtosaa.. tu.. 😁😁😁we acha tu mkuu hata mimi wakati nakomenti mvua nilikuwa nafikiria hilohilo. Shetani ana nguvu sana