Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
ngiri mdudu porileo dar tu mwawingu, manyunyu ya hapa na paleee.. wengi wameshikwa na baridiiii
ngiri mdudu porileo dar tu mwawingu, manyunyu ya hapa na paleee.. wengi wameshikwa na baridiiii
acha kabisaaa.. wakati mwingine hata shubiri ina dundangiri mdudu pori
Hii rangi tunaiita pisi imependeza
Dah! kamaliza mwendoGod forbidView attachment 2090620
Pamoja kaka!Safi sana Engineer! Mapambano kama kazi
😃😃😃😃 anakandwa miguu mwenzenuJamani jamani; Baba Mchungaji weeee
Haha Anne bhana, asante mtakatifuWacha wee.
Umesoma na kaka yangu HM,,maengineer
![]()

kadogo kangu ka mwisho.. mkazoee kanadaekaa hako 😊😊Haha Anne bhana, asante mtakatifu
Mwenzetu kayapatia maisha




😃😃😃😃😃 ndio maana mahala pa maisha na ya mke na mume.. haipendezi wageneni wa ukeni au uumeni kuja kuweka kambii.. wana bana bana mambo.. kuna kipindi mnakuwa na mood ya kuishi kama adamu na hawa ila kukiwa na watu ngumu 😂😂😂Mwenzetu kayapatia maisha
Huku utashangaa mama mkwe na mawifi wameanza kukemea pepo ghafla; kaka yao amerogwa teh![]()
Ipi hiyo jamani my love sister 🥰😘😍Kuna worship ulituma,,,ipo kuugusa uvungu wa moyo wangu![]()
Sijui aliyeimbaIpi hiyo jamani my love sister 🥰😘😍
🤣Mwenzetu kayapatia maisha
Huku utashangaa mama mkwe na mawifi wameanza kukemea pepo ghafla; kaka yao amerogwa teh![]()
Ooh! Ni wa benjamini duneSijui aliyeimba
Ila wanaimba "we bow down and worship you"kanaenda enda hivyooo kule mbele sasa ndio kumekolea🙌
ndio maana mahala pa maisha na ya mke na mume.. haipendezi wageneni wa ukeni au uumeni kuja kuweka kambii.. wana bana bana mambo.. kuna kipindi mnakuwa na mood ya kuishi kama adamu na hawa ila kukiwa na watu ngumu
![]()