Bagamoyo.Ulikuwa unaenda wapi?
Hongera mkuu. Anaonekana kweli ni mtoto aliyetoka kwenye familia inayojiweza.





.#nimepitakushangaa#hadihukumwenyekiti?
#sasafanyampango![]()

niwachekwanzaPoa tu.Sijambo carba akee za wewe mama
Santino FontanaNajisikia kupigwa ban. Hakuna sehemu yoyote humu kuna malumbano mtu anitag?
Okay

ndo kusema ni ME aliyejipambanua kua ni KE,kisa Ali piga mistari ya nyimbo za kigumu






Nitag sehemu yoyote yenye ugomvi humu jukwaani nikapate ban please.Santino Fontana



Hamna ugomvi leo au nikuanzishie tu uzi tujifanye tunatukanana??Nitag sehemu yoyote yenye ugomvi humu jukwaani nikapate ban please.
HiHello familia![]()
Hamna ugomvi leo au nikuanzishie tu uzi tujifanye tunatukanana??
Sema sasa hapo na mimi nitakula ban au wewe cha kufanya muibukie Melo pm muambie akuzawadie ban moja takatifu tena huko itakuwa vizuri zaidi maana utajichangulia na muda kabisa unaotaka wewe wa kukaa kifungoni!!




Alosto ya ban?
Nitag sehemu yoyote yenye ugomvi humu jukwaani nikapate ban please.
Mimi kutaka ban bado kwanza aisee au nitukane nikureport tuAnzisha uzi unitag.
Kweli natamani kuvurugana na mtu humu.Alosto ya ban?
Nambie mama kujitunza; ndo nimetoka shamba@heaven sent ndio anajiprotect![]()
Tusi gani sasa.Mimi kutaka ban bado kwanza aisee au nitukane nikureport tu