Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,509
- 94,639
Persian? Sema nimeona alama kama ya mmea wa jamaika...peace...
We mdada jaman nakusalimia mimi
mambo Jr
We endelea tu hivyo, "jitunze" tu hapo.Wacha bwana!!

Sitaki usononeke muhenga mwenzangu. Njoo tuliwazane vya kiutu uzima basiiiKama nakuona unavyosononeka, hata mie naomboleza mwenyewe nimekosa mfarijj![]()
Njoo bas pande hiziSitaki usononeke muhenga mwenzangu. Njoo tuliwazane vya kiutu uzima basiii

Kila sehemu moto unawakaa
Yaani serikali itutishe na nyumbani napo vitisho![]()

Kwa hiyo ina maana gani kupiga hiyo picha kwa upande wa huyo dada?
Kwa hiyo ina maana gani kupiga hiyo picha kwa upande wa huyo dada?
@heaven sent ndio anajiprotectWe endelea tu hivyo, "jitunze" tu hapo.![]()

