Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante sn mkuu,Mzee wa bata,Mr coffee πŸ˜…
Na ku recomend Stefano Mtangoo kwenye project yako ile, alikuwa mwalimu wangu wa java, php kitu kama sikosei C++ pamoja na API.. sema ndio niliachana na hayo nikawa tapeli tuu wa mjinj. but on serious work mpe jamaa ana hofu ya Mungu, ana mpenda Mungu na ni muaminifu.. utafurahi kufanya nae project
 
Nimeshangaa naitwa kwenye uzi ambao hata siuelewei. Imebidi kusoma kama mara tatu hivi kuelewa kinachoendelea.
Nashukuru sana boss kwa recommendation. Nashindwa kukumbuka ni mwanafunzi yupi maana nimefundisha wengi kweli kweli.

Rudi kwenye code aisee! Hata kwa hobby πŸ™‚
 
Najua ngumu kweli kunikumbuka, wengi tumepita mikononi mwako. Ila ni mmoja ya wanafunzi wako, umenifundisha C++ from zero paka advance level, umenifundiaha PHP OOP, ukanifundisha Yii, umenifundisha JAVA na umenifunidishaa API.. Nilikaa kitengo kwa ujuzi ambao nilipata nashukuru paka sasa hivi sio mtupu kwenye field.. nakumbuka mala ya kwanza kunifundisha ulinianzia na geany.. hadi leo ndio huwa nakatumia.. Asante kwa moyo mweupe katika kujenga na kuhamisha maarifaaa.. kwa wengine kwa moyo uliokunjuka.. sikupambi hataa.. najua moyo wako kwa kipindi ambacho ulikuwa unanifundisha.. na kufundisha wengine.. nipo kwenye field.. hapo jamaa yangu nilikuwa namtamia tu kuwa nimekuwa tapeli tapeli 😁😁c. c Satoh Hirosh
 
Najua ngumu kweli kunikumbuka, wengi tumepita mikononi mwako. Ila ni mmoja ya wanafunzi wako, umenifundisha C++ from zero paka advance level, umenifundiaha PHP OOP, ukanifundisha Yii, umenifundisha JAVA na umenifunidishaa API..
Dah, nimeshindwa kabisa kukumbuka.
Nilikaa kitengo kwa ujuzi ambao nilipata nashukuru paka sasa hivi sio mtupu kwenye field..
Najisikia raha sana kusikia upo mahali kwa ujuzi niliokufundisha. Heartily congratulations!
To me its a badge of honor!

nakumbuka mala ya kwanza kunifundisha ulinianzia na geany.. hadi leo ndio huwa nakatumia..
Sasa umwache babu geany jumba la makumbusho. Mrithi wake ni VS Code!

Asante kwa moyo mweupe katika kujenga na kuhamisha maarifaaa.. kwa wengine kwa moyo uliokunjuka..
It's my honor boss!
sikupambi hataa.. najua moyo wako kwa kipindi ambacho ulikuwa unanifundisha.. na kufundisha wengine..
I know!
nipo kwenye field.. hapo jamaa yangu nilikuwa namtamia tu kuwa nimekuwa tapeli tapeli 😁😁
Safi sana! Tuendelee kulisongesha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…