Hapo kwenye kuwafunga Yanga mnanifurahisha. Ili kufanikisha ushindi wenu Kwa Yanga naomba niwasapoti Kwa kujitolea Chakula Cha siku Moja Kwa Wachezaji na Benchi la ufundi.
Najua Msosi Kwa Wachezaji 25+Benchi la ufundi 12 =37
Chakula Kwa Mamantilie ni Buku Jero
37x1,500=55,500/-
Yanga vizuri naye afungwe kama Sisi ili kubalance equilibrium πͺ