Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hehehehehehehe
Ngoja tu nihitimishe kuwa picha mimi hazinihusu![]()
Ngoja tu nihitimishe kuwa picha mimi hazinihusu![]()
Mhenga mwenzangu unanipa motisha ya kuselfika. Maana nilikuwa tu na under-age kina Anne



yapaswa tujikubali tushakua maji ya jioni tunaselfika hvyo hvyo!HahahaahahahahHii nilikuwa silewi kabisa hata ninywe dazeni mbili.
Siku ukipata nafasi jaribu hii IPA hapa halafu ulete mrejesho!
View attachment 2085944
Ni mtanzikoUsiombe upitwe afu upo hapahapa![]()
Asilan abadan. Mimi na wewe tenaa


si ndio hapo, unauliza kama hujui kuwa mimi no babe wa kila mtu...huwa simnyimi mtu mimiMimi nimefurahi
HSaki ya nani.
Mchungaji lazima utakuwa una matatizo.Alishakengeuka huyo, sio muumini wangu tena![]()
Maumivu yake ni sawa na ya kuleftishwa kwenye group huku ukiwa unataipu majibu ya matusi uliyoporomoshewa na memba mkorofi wa group....Usiombe upitwe afu upo hapahapa![]()


Eeh!si ndo tunaambiwaga hvyoo!tuna sura mbovu wadada wa jf woteee basi ndo sisi sura za baba
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app



Sasa nini??? Hahahaahahahahaah
Au nkikutumia ni kweli hutompa???
Aiseeee ntainunua kwa gharama kubwa sanaMhenga mwenzangu unanipa motisha ya kuselfika. Maana nilikuwa tu na under-age kina Anne
Aiseesi ndio hapo, unauliza kama hujui kuwa mimi no babe wa kila mtu...huwa simnyimi mtu mimi
Tunashukuru dada sisi somo la upendo kwenye maandiko ndiyo lilituingia zaidi![]()
Hahaaaaaa!!!Maumivu yake ni sawa na ya kuleftishwa kwenye group huku ukiwa unataipu majibu ya matusi uliyoporomoshewa na memba mkorofi wa group....![]()




loooh!jamaniiiMaumivu yake ni sawa na ya kuleftishwa kwenye group huku ukiwa unataipu majibu ya matusi uliyoporomoshewa na memba mkorofi wa group....![]()

