Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
HahaahahahahahahahahahHapana, nyinyi hamkawii kupindua kanisa. Samaki mmoja akioza.....
Aiseeeeeee
HahaahahahahahahahahahHapana, nyinyi hamkawii kupindua kanisa. Samaki mmoja akioza.....
Wewe mbona hujiripui?![]()
Ooooh! That's good to know mjukuuShimba sana tu!!Mimi binafsi I have friends in need humu kadhaa and they r so good people!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app

HeeeNimesave na kuscreen-shot juu
Yaani wewe!looohhhMtumishi fanya ulale basi
Kiukweli mko vizurrii!na mwanaume wa kinyaki wako very responsible wengi wanajielewega sana!ingawa I never dated but my fellows nawaona wanavoinjoi!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Aisee Heaven Sent mauzo ya picha usinisahau ndugu yanguSelfikamo ya Heaven Sent
Unasema mama mchungaji sio wa kuaminika???
Naanza siku na kulimwa dislike🤦♀️
Sasa unaamini maneno yanguUnasema mama mchungaji sio wa kuaminika???
![]()


Wee!siku nikichambwa uje kunitetea Dada!maana si unajua jf kuna vichaa hao utashangaa tu wamekuamkia baasi utasuuzwa mpk uombe poo!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Sheikh wangu yote si mitandao tu au?? HaahahahahWatu mko mpaka na kwenye WhatsApp humu?![]()
Kelele moja kwa wanyaki. Afu makaka yetu yalivyo tall dark; dadeki


nyoooKelele moja kwa wanyaki. Afu makaka yetu yalivyo tall dark; dadeki




weuweeee!wanyaki na wasukuma wanajitahidi then wanakuja wahaya na wachaga sasa!Natuma kwa namba gani sasa?? Au nimtumie khantwe halafu atakupa??Tuma hela kwanza