Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Watu wabaya😁
Watu wabaya😁


We za kwako zikwapi rafikiiHumu vipi mnatupia picha na kufuta kwani ndo selfiehiyo, nimeona picha kuna mtu amekaa kwenye kiti na mkoba narudi tena haipo
najaribu kwa kurudi nyuma bado siiyoni
![]()




Haya ndo maneno sasa Mtumishi. Nakwenda kufungua PM kwa ajili yako. Naisubiria hiyo picha kwa hamu kubwa. Usiniangushe puliziYaani Karma kwa kweli hadi nimem-quote na picha dah
Shimba Ya Buyenze kwa sababu amelala; itabidi nimtumie tu PM



Nawe eti umepitwa na picha? Ajabu sana hii wallahi!Aki ya nani![]()


🤏










Haya ndo maneno sasa Mtumishi. Nakwenda kufungua PM kwa ajili yako. Naisubiria hiyo picha kwa hamu kubwa. Usiniangushe pulizi![]()
Asante sana Mtumishi. Nimeona. Uwiiii!Nimeshatimiza ahadi yangu na wewe Mtumishi, sina deni.









NimehujumiwaNawe eti umepitwa na picha? Ajabu sana hii wallahi!
Ila mimi na Karma ni mwaka wetu wa 5 huu tunaomba picha bila kupewaNimeshatimiza ahadi yangu na wewe Mtumishi, sina deni.

KwendaaaAcha upambe basi. Mtumie na Saint Anne analia kweli amepitwa
KwendaaaaKarma nimempostia muda ule hayupo. Ila yeye ntamtumia PM, kazi kwako



