Marafiki wa jf sasa, utasikia cute b tutoke wikiend nikutoe out ule unywe... Mimi nacheka tuu kihutu hi hi hi hi.
Nikiwaambia mimi kutoka usiku siwezagi wananinunia
Marafiki wa jf sasa, utasikia cute b tutoke wikiend nikutoe out ule unywe... Mimi nacheka tuu kihutu hi hi hi hi.
Nikiwaambia mimi kutoka usiku siwezagi wananinunia
Tulipangaga ka party ka kufunga mwaka ka staff, sasa mimi ndio nilikuwa organizer imagine
Basi nikapanga vinywaji viwiliviwili, wanywa pombe walinimind acha kabisa. Wakaniambia mie mywa maji ningewaambia waniletee maji yangu na dumu la lita5 ila wao niwapangia vinywaji vya kutosha