Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
📌📌📌Litaisha endapo utanipokea kwa mikono miwili nikifika ofisini kwa Majaliwa
📌📌📌Litaisha endapo utanipokea kwa mikono miwili nikifika ofisini kwa Majaliwa
Ni kweli hata sisi tunajua anatuona mama usijali
Eeeh!😂😂😂😂😂😂🙌Ni kweli hata sisi tunajua anatuona mama usijali
Tumekuamulia leo pona yako labda ulaleDah uzi unakimbia hadi nashindwa kwenda nao
Hatukupi nafasi leo ya kutuletea ubishi wako wa ulastboniEeeh!😂😂😂😂😂😂🙌
Naenda kulala bila kupenda🤣🤣🤣🤣Tumekuamulia leo pona yako labda ulale
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌Hatukupi nafasi leo ya kutuletea ubishi wako wa ulastboni
Ninauhakika nitapendeza sana siku hiyoAisee unavaa kile kiatu mtumishi mwenzangu....potelea mbali
🤣🤣🤣🤣leo siku yako hatukupi nafasiNaenda kulala bila kupenda🤣🤣🤣🤣
Nikigusa hapa naona pale nimetajwa..sijamaliza pale naona huku kitu kimenibonda kisogoni.
Au wewe unajua?
chamdeko..

AiseeKwani huna helmet hapo.
Hebu pambana uliwakilishe vizuri taifa mkoani mbeya Kwa kina mwampandile mwakamti![]()




Mnooooooo...sifai🤣🤣🤣
Hallelujah
Huyu Leo kapatikana...🤣🤣🤣🤣
Yaani kwamba??Kwanini mods hawakuweka hii reactionnikupe?