Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
MnoooooMweweh!🙆🙆
Mwaka unaenda kasi na majina ya ubatizo😝
MnoooooMweweh!🙆🙆
Mwaka unaenda kasi na majina ya ubatizo😝
Amen dada mtumishiIpo tu siku kamanda ataanza kunywa fanta kama sisi![]()
Asantekila la kheri
Vunga basi kipenziuongo kipenzi
Ipo ila kumkumbusha muhimu.
Haya ndo maneno yakusikiaLete 'mwongozo' mama la mama Saint Anne
Amen dada mtumishi
We jamaa no balaaaaa
HallelujaAmen shemeji
Kwani dunia ni yetuDah😔😔😔
You are very good person ,,ila pombe tu😁
Niko poa kabisa changu lee..hata Sijui kama leo ni wikend aise😩😩Uko poa ? Wkend vipi
Hii kapo ya kitumishi inarushiana ballNakusikiliza wewe baba mtumishi.
KhaMimi nasema tuliweke kwenye maombi mpaka tuoneshwe 'mara tatu'
Konzi linakuhusuhahahaha,ulimi ulitereza
Ubarikiwe sana mtumishi mwenzetu...shemejiAmen shemeji
Hakuna cha over the moon shem wa kitumishi.alishasema Ila indirectly unajichelewesha mwenyeweEmbu ni cc huo uzi mshkaji wangu na mtumishi mwenzangu...sjaona.
Ningeshakua over the moon saivi