Pep
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,338
- 5,490
Lete 'mwongozo' mama la mama Saint AnneSaint Anne hebu fanyeni fanyeni basi mtumishi mwenzenu nipate kukanyaga chini Kwa madoido
Lete 'mwongozo' mama la mama Saint AnneSaint Anne hebu fanyeni fanyeni basi mtumishi mwenzenu nipate kukanyaga chini Kwa madoido
Hahaaa nipo dadaHivi Karma yuko wapi mdogo angu? Asije akapitwa ukaanza kumnyasanyasa (in Senga's voice)
Sent using Jamii Forums mobile app


Naona mnabembelezana na last bornI am sorry![]()
Hiyo bia imenirudisha.Si uliaga wewe au?
Hahaaa nipo dada![]()
Dah😔😔😔I am sorry![]()
Dah😂😂😂Naona mnabembelezana na last born
Nakusikiliza wewe baba mtumishi.Lete 'mwongozo' mama la mama Saint Anne
🤣🤣Naam
Hayo maneno humo nikiambiwa mimi na mrembo kama Anne....
Ntahisi hii dunia ni yangu.
Kwa kifupi nta retire kwenye kila kitu nafanya 'nifanye kumpenda yeye tu'
Sisemi uongo ndugu zangu 🤣🤣
Kuna possibility sisi 'wageni tuliokujaga na jasiri' tukafukuzwa mashambani.🤣🤣
Tuendelee kulima mbogamboga.
Hivi baba umekumbuka kununua zile kamba??
Tushaambiwa tutakula kwa urefu wa kambe zetu😂

Hiyo bia imenirudisha.
Si unaona mnyaki mwenzetu anavyopiga vyombo??
Mimi simuungi mkono na huwa namwambia.
Mimi nasema tuliweke kwenye maombi mpaka tuoneshwe 'mara tatu'Nakusikiliza wewe baba mtumishi.
Sa itakuaje😂😂😂Kuna possibility sisi 'wageni tuliokujaga na jasiri' tukafukuzwa mashambani.
Shamba zote zinarudi kwa wamiliki halisi wenye mashamba yao.
Hata zile alfu 7 za kila siku za palizi tuzisahau 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Mimi nasema tuliweke kwenye maombi mpaka tuoneshwe 'mara tatu'
Ipo ila kumkumbusha muhimu.Ipo tu siku kamanda ataanza kunywa fanta kama sisi![]()
Sawa blazaNa sio kuzitafuta tu, fanya zikutafute na ifike mahala zikufate hata ikibidi 😂😂😂😂