Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,900
- 136,567
Mie niko poa
Unaendeleaje?

Malast born mnavituko sana

Mwenzenu alisusa
Mie niko poa
Unaendeleaje?


We jamaa umepotea sana
Leo sasa nimekupima kimo kimyakimya😝.
Yule ni last born grade one.Mie niko poa
Malast born mnavituko sana
Mwenzenu alisusa
Npo jamaa nimejichimbia shamba huku nacheza na nyani tuWe jamaa umepotea sana
AnasusaYule ni last born grade one.

hiiiiiiiiiiiMa first born SISi hakuna kulia LiaAnasusa
Anadeka
Anapenda kubembelezwa
Mafirst born Tunawatizama tuhiiiiiiiiiii
Siku moja nitapotea njia nje huko tucheze na nyani.imekuwa kitambo sana..kuna mtu alikuulizia😁Npo jamaa nimejichimbia shamba huku nacheza na nyani tu
Hakuna hiyo,......madogo wasumbufu sanaMa first born SISi hakuna kulia Lia
Potea uje ujifunze uzalishaji Mali mashambani huku ni mwendo wa kushinda na trekta tu achana na motivation speakers wa town.Siku moja nitapotea njia nje huko tucheze na nyani.imekuwa kitambo sana..kuna mtu alikuulizia![]()
Likizo moja nitaitumia huko aise niangalie fursaPotea uje ujifunze uzalishaji Mali mashambani huku ni mwendo wa kushinda na trekta tu achana na motivation speakers wa town.
Huo mwili unavaa hivi huogopi?Acha ukuda cha mdeko.navaa 37.ninunulie kama hiki basi
View attachment 2083639



Ndio nafungua kinywa .. karibuni wapendwaView attachment 2083650


hicho kiswaswadu kimenichekesha mno uwiiiiiihHapana kipendhi..mwili nilionao si wa kutisha kushindwa kuvaa hivyo viatuHuo mwili unavaa hivi huogopi?![]()