Selfika na JF: Snap it. Show it

Kipara anatoa ubatizo aisee wale sugu sugu wa stand wote wamempokea kristu
Jamaa noma sana.
Halafu sasa utamsikia mwenyewe kwenye maoni yake akisema vijana wake wamecheza hovyo chini ya kiwango😂🙌jamaa ana kufuru yule🤣🤣

Akiwakamata nyie mwanitesa mtaimba Halleluya na Bwana..kama sisi tuliwachakaza kama mbwa koko,sasa akiwashika jamaa atajipigia anavyotaka.
 
Kipara anatisha dah anapiga za kutosha utadhani anaua nyoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…