Yah! 100%. Wanawake haswaa na hata ukiwa nae huwezi fail maisha kama mwanaume anakuwa na nidhamu, sema wana dharau flani
.. nilikuwaga na mmoja alinisaidia sana, sema alifariki ningekuwa mbali sana ningekuwa na yule dada.. kwanza wanapenda Mungu kikweli kweli