Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20220115-060402.jpg
 
Heaven Sent
Saint Anne
Tinsley
Katika Biblia.. yote.. mstari ( mistari), sura ambayo ni favorite kwangu ni hii ( huu).. kila nikisoma kuna kitu naona.. 😥😥

Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.

Hakika ameyachukua masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu; Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa, Amepigwa na Mungu, na kuteswa.

Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.

Mkawe na weeekend njema..
 
Heaven Sent
Saint Anne
Tinsley
Katika Biblia.. yote.. mstari ( mistari), sura ambayo ni favorite kwangu ni hii ( huu).. kila nikisoma kuna kitu naona.. 😥😥

Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.

Hakika ameyachukua masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu; Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa, Amepigwa na Mungu, na kuteswa.

Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.


Mkawe na weeekend njema..
Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake
Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona🙏
 
KWA KUPIGWA KWAKE SISI TUMEPONA".
Heaven Sent
Saint Anne
Tinsley
Katika Biblia.. yote.. mstari ( mistari), sura ambayo ni favorite kwangu ni hii ( huu).. kila nikisoma kuna kitu naona..

Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.

Hakika ameyachukua masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu; Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa, Amepigwa na Mungu, na kuteswa.

Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.

Mkawe na weeekend njema..
 
Back
Top Bottom