Amen
Hakika hujachelewa kuweka bond nzuri na wanao , kitu kikubwa tunachokosea sisi wanawake ni kupandikiza chuki kubwa watoto kuwa baba hafai , hawapendi , etc haya maneno yanaumiza sana watoto na kupelekea psychological trauma kwa mtoto mwenyewe .
Hapana jamani. Kuna watu wana-sail vizuri tu. Na kuna wengine ni kulia tu tangu dating hadi ndoani. Hayana formula haya mambo. Na wengine huku kuumizwa kwenye dating kumewafanya wabaki na uchungu; hata hizo ndoa hawazitaki tena, na hata wakijilazimisha kuingia huko; nothing good will come out of them.
Hapana jamani. Kuna watu wana-sail vizuri tu. Na kuna wengine ni kulia tu tangu dating hadi ndoani. Hayana formula haya mambo. Na wengine huku kuumizwa kwenye dating kumewafanya wabaki na uchungu; hata hizo ndoa hawazitaki tena, na hata wakijilazimisha kuingia huko; nothing good will come out of them.