Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,522
- 5,577
Hizi indices ni noma asee. Huwa zinamwaga ugiligili na Mara nyingi huwa zinaelekea upande mmoja zote s&p, djia, dax30, Nikkei n.k Ila account iwe umeshiba haswaaKashaija72
Kazakh destroyer
Manajua hii kitu namna inavyo work? Kama mkifanikiwa kujua hii namna inavyo move.. niView attachment 2080539
haya mambo yatawatoa mvi za ndevu..Hizi indices ni noma asee. Huwa zinamwaga ugiligili na Mara nyingi huwa zinaelekea upande mmoja zote s&p, djia, dax30, Nikkei n.k Ila account iwe umeshiba haswaa
Mkuu wewe ni kiranja wetu malast bornkwamba nimegeuka mfano wa kuigwa..
Hakika,Ukipata pesa kwa kumtegemea Mungu, hata matumizi yake yanakuwa na adabu...
siku nikifanikiwa kusalimiwa PM ntawajazia notifications mara 10 ya jana na leo..Mkuu wewe ni kiranja wetu malast born
Ukiotewa unapiga kilio cha hatari sana, naitumia VIX S&P 500 kama indicator nzuri sana ya soko hasa napotaka ku trade pair za ukanda wa Asia na Europe.Hizi indices ni noma asee. Huwa zinamwaga ugiligili na Mara nyingi huwa zinaelekea upande mmoja zote s&p, djia, dax30, Nikkei n.k Ila account iwe umeshiba haswaa
mkuu USDZAR unawezana!?!..Ukiotewa unapiga kilio cha hatari sana, naitumia VIX S&P 500 kama indicator nzuri sana ya soko hasa napotaka ku trade pair za ukanda wa Asia na Europe.
Asee. Halafu yenywe haui tradeUkiotewa unapiga kilio cha hatari sana, naitumia VIX S&P 500 kama indicator nzuri sana ya soko hasa napotaka ku trade pair za ukanda wa Asia na Europe.
Niko trade USDZAR huwa lazima pia nipige na USDMXN.. zina move flani hivi amazing.. ukikosea matangaaamkuu USDZAR unawezana!?!..
ahahaha we jamaa unajifanya gavana wa benki kuu..Niko trade USDZAR huwa lazima pia nipige na USDMXN.. zina move flani hivi amazing.. ukikosea matangaaa
hapana yenyewe si trade, ila kwangu ni indicator.. na 100%. Ukiweza kuielewa vizuri na ukawa ni RM nzuri.. uta grow kwenye industryAsee. Halafu yenywe haui trade
Gavana 9.8ms squared πππ.. hizo pair zinatengeza pesa haraka haraka. kinyume chake pia zinapoteza pesa haraka haraka.. ngoma drawahahaha we jamaa unajifanya gavana wa benki kuu..
af nikikwambia tunafanya betting iliyochangamka unaniletea sound za george soros..Gavana 9.8ms squared πππ.. hizo pair zinatengeza pesa haraka haraka. kinyume chake pia zinapoteza pesa haraka haraka.. ngoma draw
Mkuu wewe ni kiranja wetu malast born
Haya maelekezo inabidi nitembee na daftari,kichwani hayakaiUkipiga reverse kutoka Chit Chat utafika mtaa wa JF Social Forums, ukiingia kwenye huo mtaa achana na kona ya kwanza ya Urembo, pita Jamii, pita Celebrities then ingia kona ya Mahusiano. Nyumba ya kwanza kabisa kwenye hiyo kona ya Mahusiano ndo kwenyewe!
Ushindwe wewe tu ππ
Inakuwa betting, pale unapo hamuka na kufanya ana ana anado, aspiringi matinde... alie kuja jambaaaa πππaf nikikwambia tunafanya betting iliyochangamka unaniletea sound za george soros..
Woyoooooanatuwakilisha vyema sie watoto vya mwisho .
Yaani mimi ni mzembe,jamaa unakata kitabu cha pili,mimi kilekile kimoja hata nusu sijafika,,tena nilitangulia kuanza.
Mwee roho imenisuta ,Na kadri muda unavyozidi kwenda na majukumu kuongezeka; ndiyo muda wa kusoma unakuwa limited. Sitaki nikusimulie style yangu ya usomaji sasa hivi
Eeh!siku nikifanikiwa kusalimiwa PM ntawajazia notifications mara 10 ya jana na leo..