Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila Mwanaume kuweza kula hela ya Mchepuko itakuhitaji kutumia mbinu kubwa mno, ila wao Sasa wakihitaji utasema waliiweka
Teh kuna siku nilikuta mahali wanasema walimu wa kike wengi wanapigwa sana na wanaume. Wengi wanawarubuni wawachukulie mikopo afu wakishapewa mapene wanawakimbia. Kuna wanaume ni makauzu wewe
 
Mmmh bado una moyo mzuri aisee. Wenzako mwanamke ukiitwa tu ka dinner, wakati anakunywa soda, anasikia kidume anauliza "vyumba vipo muhudumu? (Natania mweeh)
Bora anipige mzinga nimfungulie Biashara ili kama ni Kodi alipe kupitia biashara niliyomfungulia lakini sio hii mara Kodi, mara Ada n.k inakera
 
Dada yangu nashukuru kwa maelezo mazuri sana, nakupongeza kwa kuishikilia imani sawasawa na nakutakia au nakuombea ikawe hivyo kwako kwa kila hali na kwa kila wakati.

Unaweza ukawa ni moja ya watu walio okoka wenye kujitambua na kujielewa, ila nakuomba ujue wengi sana wanaojiita wameokoka ndani yao wana mapungufu mengi mno kiasi cha kuwa ni heri wale wanao hesabika ni waovu wana matendo dhahiri mema mengi.

Yote ya yote ni kuendelea kuishikilia wokovu na kuihubiri injili kwa kila jukwaa tutakalo pata.
 
Teh kuna siku nilikuta mahali wanasema walimu wa kike wengi wanapigwa sana na wanaume. Wengi wanawarubuni wawachukulie mikopo afu wakishapewa mapene wanawakimbia. Kuna wanaume ni makauzu wewe
Niambie nitumie mbinu ipi kuweza kula hela yako Mama Mchungaji?

Fanya tuchange nikufungulie biashara ila nitakwenda China kukufungia mzigo wa Dukani πŸ™ˆπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…