Selfika na JF: Snap it. Show it

Nahisi wale makomdanoo moja walihisi pia kama test ya nidhamu kwao pia walikuwa na matarajio flani ila pia nidhamu bado ipo kwao.. sio kwamba walikuwa wanyonge
Yeah huo ndiyo ukweli waliamua tu kutii sheria na kuwa wapole hawakutaka kuleta ukorofi! Wanafikiri wale makomandoo wangeamua kufight back hao mapolisi wangebaki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…