Selfika na JF: Snap it. Show it

Same language cousin.
 
Wana habari yangu kwenye mojawapo ya lounge kwenye mji mkuu wa serikali.
 
😀😀😀😀😀.. Dawa naona iliwaaingia vizuri sanaaaa.. ndio maana humu kuna ile issue ya kina Kingai najisemea kimoyo moyo tu, jamaa waliamua kuwa watii maana hawakujua lengo la jamaa kuwafataa.. ila ulichowapatia ndio wangepewa tena maradufu
 
sikuwezi wewe.. uzuri nimejikuta sasa hivi napigwa dana dana na warembo wa jf kuonana nao, huku na mie nimeapa kutokutana na member yoyote wa jf nje ya jukwaani
tunaanzia hapa tunaishia hapa
Kwamba umeapa kutokutana na member yoyote wa JF nje ya jukwaa?seme kweli


Kwa nini Warembo wanakupiga Dana dana Mzee? Mimi nipo Usukumani huku na jirani yangu T 1990 ELY karibu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba umeapa kutokutana na member yoyote wa JF nje ya jukwaa?seme kweli


Kwa nini Warembo wanakupiga Dana dana Mzee? Mimi nipo Usukumani huku na jirani yangu T 1990 ELY karibu..

Sent using Jamii Forums mobile app
ama kweli huu ni mwaka wa T 1990 ELY , mambo mazuri mazuri yote yanaelekea kwake.. dah! Namtamani aseee... Msalimie sana muambie mwaka wake wa kula mema ya nchi 😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…