Selfika na JF: Snap it. Show it

Unaandika capital T kila mahali au naona vibaya??? Ila mwandiko unafaa kuniandikia barua!
Kashaija jana nilifika katavi naona barabara safi kabisa .. kwenye lile pori la kutokezea mpanda kuna sehemu ilikua mbaya sana walirekebisha mwaka jana kwa kuweka lami. Sijajua ya huko mbele kuelekea sumbawanga na mbeya ikoje!
 
Kashaija jana nilifika katavi naona barabara safi kabisa .. kwenye lile pori la kutokezea mpanda kuna sehemu ilikua mbaya sana walirekebisha mwaka jana kwa kuweka lami. Sijajua ya huko mbele kuelekea sumbawanga na mbeya ikoje!
Karibu sana, ukifika Mbeya nishtue twende Mbeya pazuri tupate kitimoto roast (ingawa mie sio mlaji)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…